Home » , , , , , , , , , , » Wanablog wa Tanzania wawe wabunifu wa machapisho yao

Wanablog wa Tanzania wawe wabunifu wa machapisho yao


Bwana Freddy Chacha (pichani kulia) katika blog yake ya "Makala zangu" amechapisha chapisho la kiuchambuzi juu ya

ubunifu wa machapisho kwa wanablog wa kitanzania badala ya kunakili na kupachika katika blog zao.

Nimepitia chapisho lake mwanzo hadi mwisho na kuridhika na mtazamo alioutoa na kufarijika kuona kuwa kuna wanablog wanaotazama uwanda wa blog na kuchangia katika kuleta maendeleo katika uwanda huu.

Chapisho lake lipo katika lugha ya kiingereza na linaanza kama ifuantavyo;


"The blogging phenomenon kicked off in late 1990s- but in Tanzania was picked up by news reporter Ndesanjo Macha -a decade ago.  As Ndesanjo (pictured below) campaigned tirelessly for Swahili blogging, running workshops and attending world wide conferences while maintaining hold on his Jikomboe blog very few understood the meaning of the word, let alone using the internet as feverishly as today. Those days, Ndesanjo confessed he was blogging for love arguing this was the future of global communication.

Other local bloggers started getting noticed after the vicious murder of a Tanzanian couple  in the USA  September 2006. Suddenly we were dependant on Michuzi and internet Radio Butiama to get information that was not readily available on mainstream media.  I personally began blogging in 2007.
How things have changed since!..."


Kama mdau wa blog Tanzania nakushauri upitie ili kuhamasika juu ya kuandika machapisho ya kipekee katika blog yako, Chapisho hilo linapatikana katika kiungo hiki "CALL FOR TANZANIAN BLOGGERS TO BE ORIGINAL AND INVENTIVE"
Share this article :

Post a Comment

Tupende katika Facebook

 
Msaada : All Tanzania Blogs Hakimiliki © 2013. All Tanzania Blogs
Blog Imebuniwa na Kuchapwa na: Tanzania Website Design Imewezeshwa na: Blogger